Ikiwa bado siku kama 60 kuweza kufikia January ya mwaka 2016 wakati
ambao vilabu kadhaa barani Ulaya vitakuwa vikihusishwa kusajili
wachezaji kutokana na kuwa ni wakati ambao dirisha dogo la usajili
litakuwa limefunguliwa, klabu ya Liverpool ya Uingereza tayari imeanza
kunyemelea huduma ya mshambuliaji wa kibrazil Alexandre Pato. Alexandre
Pato ambaye amewahi kuchezea klabu ya AC Milan ya […]
The post
Rais wa Corinthians athibitisha Alexandre Pato kuwa sokoni, hii ndio klabu ya Uingereza inayotajwa kumsajili… appeared first on
TZA_MillardAyo.
Source